Saturday, July 7, 2012

SIMBA AU YANGA?(wabunge) NGOJA TUSUBILI MATOKEO

Simba wakiingia uwanjani kupasha misuli.
Yanga nao wakiingia uwanjani kwa maandalizi ya mechi.
Yanga wakijichua kwa ajili ya mtanange na watani wao wa jadi Simba.
Mechi ya watani wa jadi inakaribia kuanza muda huu. Timu zote mbili zimejiandaa vyema na kila moja imeahidi kuwashushia kichapo wenzao katika mtanange huu.