DJ K U
Friday, May 10, 2013
Unakumbuka Raha za ki-legendary za muziki?
Unakumbuka? Raha za ki-legendary za muziki wa Silent Inn, Bills, FM Club, Carlifonia Dreamers, Mambo Club,na Tazara? Basi DJ John Dillinga (DJ JD) na DJ Fast Eddy tunawakaribisha kujumuika na malegends wenzako kila jumamosi kuenzi nyakati hizo Isumba Lounge, Jolly Club kwa mchango wa elfu 10 tu mlangoni, Karibu Sana.
Wednesday, February 20, 2013
Friday, November 2, 2012
The LEGEND IS BACK LADIES NIGHT
This Saturday at synergy lounge jds
entertainment presents the legend is back ladies night ladies night
excursion ,ladies come in a group of five and receive a very treat all
the way from the entry to the club,plus some serious good music from
yours trully JOHN DILLINGA (DJ JD) along side his long time dj friend dj
FAST EDDY ,guys you all know what to do ,JOIN THEM LADIES .entry
10000 sh only you are all welcome
Friday, September 21, 2012
Tuesday, September 18, 2012
DITTO ANAOMBA KURA ZETU WATANZANIA KWENYE TUZO ZA DISCOVERIES 2012.
Nyota wa kizazi kipya anayejulikana kwa jina la Lameck Ditto kutoka hapa
bongo land Tanzania amechanguliwa katika kuwania tuzo za Radio France
International Discoveries
ambazo zitakuwa zinatolewa nchini France.katika tuzo hizi wasanii kumi
kutoka Africa wamechanguliwa katika kuwania tuzo hizi na Ditto naye ni
moja kati ya wasanii ambao wametajwa katika list ya wasanii ambao
watashiriki katika kuwania tuzo za Radio France Intenational
Discoveries.Kama mshindi akipatikana katika tuzo hizo za Radio France
International basi atajipatia Euro elfu kumi na mkataba wa kufanya
show live katika nchi 18 Duniani.Kwa hiyo tuna mtakia ushindi katika
tuzo hizi za Radio France International
Bonyeza hapa chini kuingia kwenye site ya kumpigia kura
Saturday, September 15, 2012
GHARAMA YA MAKOMEDIANI NI BANGI, GONGO NA,,,,!!
UTAFITI unaonyesha kuwa pamoja wasanii wa komedi yaani wachekeshaji
kuwa ni wasanii wasiokuwa na makuu katika maisha yao, lakini utata
umetanda katika malipo yao na maisha yao kwa ujumla, hivi karibuni kuna
mjadala umezuka katika vyombo vya habari vikielezea gharama za komedi
hizo kuwa chini katika utayarishaji.
FC imebaini kuwa baadhi ya watayarishaji wanavyotaka kuandaa filamu uandaa bajeti ya lakini mbili tu kwa ajili ya malipo ya wasanii hiyo ni kwa mtayarishaji asiye mchekeshaji wala hayupo karibu na wasanii wa Komedi lakini kwa mchekeshaji kama ataamua kuandaa filamu lazima basi anaweza kuandaa kuwaandalia washiriki Bangi, Gongo na ugali mkubwa.
Kwa mchekeshaji matata kidogo anaweza kununulia Bia na kuanza kurekodi komedi husika, jambo ambalo baadhi ya wachekeshaji wamekiri kutokea kwa jambo hilo huku wakidai kuwa baadhi ya wachekeshaji hawajitambui jambo ambalo limefanya waandaaji kuwatumia kwa gharama ndogo huku wakifanya kazi kubwa.
.
Wakati gharama za filamu hata mbovu uchukue kiasi cha milioni mbili na na kwenda juu zaidi hali haipo hivyo katika Komedi, malipo ya msanii mmoja ambaye hana jina ambayo ulipwa kwa kushiriki filamu kama malipo utumika kutengenezea Komedi hadi kukamilika kwa ajili ya kuingia sokoni.
Msanii pekee ambaye analipwa malipo makubwa tofauti na wasanii wengine ni Amri Athuman ‘King Majuto’ akifuatiwa na Salum Haji ‘Mboto’ na Mboto ameweza kulipwa malipo hayo kutokana na utengenezaji wake kuwa ni tofauti kwani anawashirikisha wasanii wa filamu na si wachekeshaji.
Thamani ya komedi imeshuka sana katika malipo na hata wasanii, lakini jambo ambalo wanatakiwa kujifunza ni kutoka kwa wasanii wenzao wa Orijno Komedi ambao wameweza kujijengea utaratibu kuwa na kiwango kikubwa cha malipo huku wakiweza kuwa na msimamo katika kulinda maslahi yao.
Iwapo kama Komedi imerekodiwa na kukamilika kwa gharama ya laki sita kwa kila kitu je Wasanii kama Senga, Dani na wengine walioshiriki wamelipwa shilingi ngapi? Mpiga picha kalipwa shilingi ngapi? Mhariri naye je? Uigizaji ni kazi kama zilivyo kazi nyingine kama msanii atakuwa hajalipwa vema sanaa itaendelea kweli?
.
Kama ni kweli malipo ya kazi zenu ni Gongo, Bangi na Ugali mkubwa kwa ngulu tafuteni staili nyingine ili maisha yaende hivi karibu Mzee king Majuto alisema bora aachane na uigizaji hasa wa Komedi kwa sababu wachekeshaji wanafanya utani yeye anauza Komedi moja kwa milioni nane kumbe kuna komedi za lakini sita na zina nyota wengi!
Wasanii wa Komedi wanatakiwa kumshukru sana mkurugenzi wa Al Riyamy Production ambaye kwanza amebadilisha mfumo wa komedi na kuweza angalaukushindana na filamu japo si sana, siku za nyuma watayarishaji wa Komedi walikuwa hawana bajeti wa mavazi lakini kwa sasa si haba, Hongera Halfan Abdalah.
FC imebaini kuwa baadhi ya watayarishaji wanavyotaka kuandaa filamu uandaa bajeti ya lakini mbili tu kwa ajili ya malipo ya wasanii hiyo ni kwa mtayarishaji asiye mchekeshaji wala hayupo karibu na wasanii wa Komedi lakini kwa mchekeshaji kama ataamua kuandaa filamu lazima basi anaweza kuandaa kuwaandalia washiriki Bangi, Gongo na ugali mkubwa.
Kwa mchekeshaji matata kidogo anaweza kununulia Bia na kuanza kurekodi komedi husika, jambo ambalo baadhi ya wachekeshaji wamekiri kutokea kwa jambo hilo huku wakidai kuwa baadhi ya wachekeshaji hawajitambui jambo ambalo limefanya waandaaji kuwatumia kwa gharama ndogo huku wakifanya kazi kubwa.
.
Wakati gharama za filamu hata mbovu uchukue kiasi cha milioni mbili na na kwenda juu zaidi hali haipo hivyo katika Komedi, malipo ya msanii mmoja ambaye hana jina ambayo ulipwa kwa kushiriki filamu kama malipo utumika kutengenezea Komedi hadi kukamilika kwa ajili ya kuingia sokoni.
Msanii pekee ambaye analipwa malipo makubwa tofauti na wasanii wengine ni Amri Athuman ‘King Majuto’ akifuatiwa na Salum Haji ‘Mboto’ na Mboto ameweza kulipwa malipo hayo kutokana na utengenezaji wake kuwa ni tofauti kwani anawashirikisha wasanii wa filamu na si wachekeshaji.
Thamani ya komedi imeshuka sana katika malipo na hata wasanii, lakini jambo ambalo wanatakiwa kujifunza ni kutoka kwa wasanii wenzao wa Orijno Komedi ambao wameweza kujijengea utaratibu kuwa na kiwango kikubwa cha malipo huku wakiweza kuwa na msimamo katika kulinda maslahi yao.
Iwapo kama Komedi imerekodiwa na kukamilika kwa gharama ya laki sita kwa kila kitu je Wasanii kama Senga, Dani na wengine walioshiriki wamelipwa shilingi ngapi? Mpiga picha kalipwa shilingi ngapi? Mhariri naye je? Uigizaji ni kazi kama zilivyo kazi nyingine kama msanii atakuwa hajalipwa vema sanaa itaendelea kweli?
.
Kama ni kweli malipo ya kazi zenu ni Gongo, Bangi na Ugali mkubwa kwa ngulu tafuteni staili nyingine ili maisha yaende hivi karibu Mzee king Majuto alisema bora aachane na uigizaji hasa wa Komedi kwa sababu wachekeshaji wanafanya utani yeye anauza Komedi moja kwa milioni nane kumbe kuna komedi za lakini sita na zina nyota wengi!
Wasanii wa Komedi wanatakiwa kumshukru sana mkurugenzi wa Al Riyamy Production ambaye kwanza amebadilisha mfumo wa komedi na kuweza angalaukushindana na filamu japo si sana, siku za nyuma watayarishaji wa Komedi walikuwa hawana bajeti wa mavazi lakini kwa sasa si haba, Hongera Halfan Abdalah.
Friday, September 14, 2012
LORD EYEZ FT JOH - MAKINI - SANAA
Subscribe to:
Posts (Atom)











