Showing posts with label DJ K U. Show all posts
Showing posts with label DJ K U. Show all posts

Wednesday, August 7, 2013

PETER OKOYE WA P SQUARE AVUNJA UKIMYA

Member wa kundi la P square Peter Okoye ameamua kuvunja ukimya kwa kumvisha pete ya uchumba mpenzi wa siku nyingi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka saba na mama watoto wake wawili Lola Omotayo. Peter ametumia aina tofauti na iliyozoeleka ya kuvishana pete kwa kum-suprise bi dada kwa gari jeupe la kifahari Range Rover jipya kabisa juu akaweka maua na peter ya uchumba! Cheki picha..

Thursday, August 23, 2012

HAPPY BIRTHDAY to DJ K U(KHALID ULED)

DJ K U Birthday Party @Coco Beach n After Party ni New Maisha Club. Njoo tusheherekee Pamoja

Friday, August 10, 2012

UCHAMBUZI WA WIMBO MPYA WA DOGO JANJA FT PNC - YA MOYONI



Dogo Janja ameachia wimbo na video ya kwanza tangu ajiunge na Mtanashati Entertainment. Ni ujio uliokuwa unasubiriwa kwa hamu kutokana na tukio kubwa lilitokea miezi miwili iliyopita la msanii huyo kutoka Arusha kuzinguana na Madee kiasi cha Tip Top Connection kumrudisha Arusha.

Panel ya TMP inauchanachana wimbo huo kama ifuatavyo:

Josefly

Kweli nimeusikiliza vizuri sana huu wimbo wa Dogo Janja , tena zaidi ya mara kumi mfululizo na kwa awamu tofauti ili nijiridhishe kwa kile nitachokiandika hapa kwenye TMP, na hii nimeifanya kwa kujiuliza maswali na kutafakari sana kabla sijaandika lolote kwa sababu haya yaliyosemwa humu ni yaliyo moyoni mwa Dogo Janja.
Mbali na mdundo ulionishawishi kutikisa kichwa mara kwa mara, na hisia (feeling) za sauti nzuri ya PNC zinazosikika na kunitengenezea mood fulani, kiitikio kinachonipa sababu ya kupenda kusikiliza melody zake ,ni vizuri nizame kidogo kwenye mashairi na maudhui kama hivi:

Kwanza kabisa jina la wimbo na mashairi yanayosikika humo ndani vinaendana kwa asilimia 99.9 (YA MOYONI), kwa mtu anayefahamu tukio lililomtokea Dogo Janja na kundi alilotoka na kuhamia huko kwa watanashati wanaweza kukubaliana na mimi, hapa ukisiliza tu wimbo hata huhitaji mahojiano tena ili kuthibitisha kwa sababu jina la kundi/mtu ni kama ameli-mute hivi ila maneno yanajieleza wazi wazi.

Kwa kuwa wengi tulimsubiri kwa hamu kubwa Dogo Janja ataanza vipi huko kwa watanashati, alichokifanya yeye ni kujifaidisha kisanii kwa tukio ambalo watu wengi walilifuatilia ambalo lilimhusu yeye, naweza kusema Dogo Janja ameamua kufanya kile ambacho wengi(japo si wote) walitegemea kusikia kutoka kwake (ya moyoni mwake). kama muziki ni kuwakilisha hisia zako kwa jamii, basi dogo janja amefanya hivyo.

Mtunzi amejitahidi sana kutumia sanaa kufikisha ujumbe wake japo alikua anazungumzia yale aliyonayo moyoni ili yasichoshe sana, mfano angalia maneno haya..“Jasho langu kwenye shamba lao walifanya mbolea,…wakanifunga akili huku miguu inatembea” kwenye ubeti wa kwanza. Najua umepata tafsiri ya picha vizuri.

Nimejaribu pia kutafakari jinsi alivyorudia jina “Ustadh Juma na Musoma” mara ya kwanza niliona inakera kwenye kiitikio, lakini nimeijaribu kuunganisha tukio analozungumzia nikagundua kuna connection sana na huyu jamaa anayetajwa na kushukuriwa kwenye kiitikio cha wimbo na utanashat(kundi), japo hii desturi imekua ikiwakera watu wengi sana kwa kutaja majina ya managers na wawezeshaji kwenye nyimbo na hapo bado jina la producer, kundi la msanashati, washikaji wake na jina la msanii mwenyewe, ila imeshazoeleka nadhani ni moja ya mashariti ya wawezeshaji ili kujitangaza.

Changamoto; kwa mtazamo wangu huu ni wimbo ambao hautadumu saaana kimashairi kwenye akili ya  watu wengi, kwa sababu umeegemea sana kwenye tukio moja, hili tukio likizoeleka basi watu watauchukulia poa, labda itabaki melody tu na mdundo mzuri kuusogeza. Wapo watakaouchukulia kama ni wimbo wa majungu tu japo utampa mahojiano mengi na vyombo vya habari, lakini baada ya mwaka mmoja itakuaje, watauonaje? Dogo janja ajipange kutuonesha uwezo kwenye wimbo ujao kwa sababu huu utahit, pamoja na sababu nyingine, sababu kubwa sana ni tukio na misukosuko yake iliyohit sana kama topic za media.

Kinye

Binafsi nimependa wimbo unavyoanza…ladha nzuri ya PNC na beat nzuri ya Marco Chali.
YA MOYONI!! Kila mtu anajua wimbo huu umeelekezwa wapi…nasema kila mtu kwasababu issue ya Dogo ilizungumzwa kila kona mitaani na kwenye vyombo vya habari ndio usiseme, kiasi kwamba ikafika hatua wengi tulichoka kusikia kwani vilishazungumzwa vyote kwa undani. Kwa kusema hivi “vilishazungumzwa vyote kwa undani” niseme timing ya kuachiwa wimbo huu si muafaka hivyo nashawishika kwa kiasi kikubwa kusema kuwa wimbo huu hautakuwa gumzo kama nyingine za dogo zilizotangulia (japo sisemi huu ni wimbo mbaya), zaidi hautakuwa na maisha marefu.

JANJA!! Dogo ili uendelee ni vyema tusikupeleke kidogodogo, ni vyema ujue ukweli ili ufike mbali zaidi. Niseme tu utoto wako ndio uliofanya upokelewe vizuri, lakini utoto si kitu kinachodumu, kila leo mpya inayoingia mifupa yako inakomaa na sasa hivi ndevu zitaanza kukutoka hivyo kutoitwa mtoto tena…hii inamaana kuwa kila siku hakikisha unakua kifani, hapa najumuisha ukomavu wa mistari yako, ukomavu wa mtindo wako wa kuchana na vingine!! Nimebahatika kusikia wadogo wa aina yako kiumri, aisee wanaaandika na kuchana kuzidi hata ya wakubwa waliotoka, chukua tahadhari mapema na “UKAZE NANII”.

PNC!! Nimesikia matoleo yako kadhaa baada ya enzi ziiiile ukiwa “juu kwenye chati”…hapa tofauti ni kubwa sana, umesikika vizuri na niseme wazi kwamba chorus hii itakuweka pazuri…umeweka ladha nzuri sana na vionjo vya hatari!! Ingekuwa mimi ni wewe ningefikiria mara mbili kurudi kwenye production za aina hii na kuacha zile studio ulizoingia na kufanya nyimbo zako hivi karibuni.

MARCO CHALI!! Siyajui mahesabu na sayansi ya production hivyo nimuachie mtaalamu wetu. Lakini ni wazi sikio langu limeshasikia beats zako nyingi za namna hii na hakika limekaribia kuchoka. Upande wa mixing sina tatizo.

J-Ryder

Unaweza usiambiwe chochote na ukajua tu kwamba kwenye hii ngoma yupo Dogo Janja, Pnc na beat imetengenezwa na Marco Chali kutoka MJ Recs. Vionjo vinaongea vyenyewe.
Ujumbe na idea wa hii ngoma ni poa, ila Dogo Janja kama haja ongea ya moyoni haswa.
Vocals, mostly background vocals za Janjaro dah! verse nzima unaweza ukasikia anasema sema tu woww, wooww, wow! Oi, oii, oii! Be creative aisee.

Beat wise, naona hamna jipya and it lacks the dynamics, me nadhani Dogo Janja anahitaji something more big than this...of course its upon him and what he wants to achieve in his music career.

Mwishoni pale unasikia ile computer programmed Electric Guitar, kama sijakosea ni ile Slayer iliyopo kwenye Fruity Loops, naona ni producers (wengi) hapa Tanzania hawapendi (ama kwasababu hawana hio skill) ku-record live Electric Guitar/ Guitar inakuwa inashindikana.

Pia ina depend, kama producer mwenyewe hana skill yakuplay, you can simply hire an instrument player. In some cases Msanii/ Musician mwenyewe anajua ku-play instrument. The more Live it sounds, the better!

Kwa upande wangu PNC, alikuwa mkali enzi zile na Master J, ngoma zake kiukweli zilikua poa, sahivi design kama inakua ngumu kwake, ukiangalia kwamba kuna challenge za waimbaji wengine wengi wapya na wanaofanya vizuri.

Tusikilizie tu kitakachofuata toka kwa Dogo Janja 'cuz kwa sasa yupo na Mtanashati Ent. hope atafikisha malengo yake.

Thursday, August 9, 2012

WIMBO NILIOUSIKILIZA ZAIDI WIKI HII Busy Signal - Come Over(Missing You)

"Come Over (Miss You)"

Miss my baby
Hope she ansa mi (busy)
Hello [female voice]

[1st Verse:]
Hello baby can you come ova?
Right now loneliness taking ova 
Me need you tonite ya me lovah
Come warm me up under the covah 
Mek we rack till the lampshade turn ova
Rub me chest rest yhu head pon me shouldah
Ah mek we listen sum Anita Baker 
Mek love till we wake up the neighbah

[Chorus:]
Gurl you're all I need 
And I'm always missing you
Miss you miss you
Miss you miss you baby
Miss you miss you [x2]
I need your tenderness
I can't resist you
Miss you miss you
Miss you miss you baby 
Me miss you miss you miss you

[Bridge:]
Gal hug me up squeeze me tight n close 
Come har mek me brace yhu pon di King size post 
Me and you forever, gal nah go divorce 
We toast to long life we ah prosper the most 
Love yhu tone ah voice wen yhu call mi name 
Ova an ova she scream again 
Inna mi arms me want yhu fi remain 
Till the sunshine cum out again



Thursday, July 26, 2012

DAILY RAMADAN DUAS - DAY 1 TO DAY 30


1.816524420@web52208.mail.re2.yahoo.com
Ramadan Dua: DAY 1
2.816524420@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day make my fasts the fasts of those who fast (sincerely), and my standing up in prayer of those who stand up in prayer (obediently), awaken me in it from the sleep of the heedless, and forgive me my sins , O God of the worlds, and forgive me, O one who forgives the sinners.
 
Ramadan Dua: DAY 2
3.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, take me closer towards Your pleasure, keep me away from Your anger and punishment, grant me the opportunity to recite Your verses (of the Qur'an), by Your mercy, O the most Merciful.
 
Ramadan Dua: DAY 3
4.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, grant me wisdom and awareness, keep me away from foolishness and pretension, grant me a share in every blessing You send down, by You generosity, O the most Generous.
 
Ramadan Dua: DAY 4
5.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, strengthen me in carrying out Your commands, let me taste the sweetness of Your remembrance, grant me, through Your graciousness, that I give thanks to You. Protect me, with Your protection and cover, O the most discerning of those who see.
 
Ramadan Dua: DAY 5
6.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, place me among those who seek forgiveness. Place me among Your righteous and obedient servants, and place me among Your close friends, by Your kindness, O the most Merciful.
 
Ramadan Dua: DAY 6
7.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, do not let me abase myself by incurring Your disobedience, and do not strike me with the whip of Your punishment, keep me away from the causes of Your anger, by and Your power, O the ultimate wish of those who desire.
 
Ramadan Dua: DAY 7
 
ALLAH, on this day, help me with its fasts and prayers, and keep me away from mistakes and sins of the day, grant me that I remember You continuously through the day, by Your assistance, O the Guide of those who stray.
 
Ramadan Dua: DAY 8
 
ALLAH, on this day, let me have mercy on the orphans, and feed [the hungry], and spread peace, and keep company with the noble-minded, O the shelter of the hopeful.
 
Ramadan Dua: DAY 9
 
ALLAH, on this day, grant me a share from Your mercy which is wide, guide me towards Your shining proofs, lead me to Your all encompassing pleasure, by Your love, O the hope of the desirous.
 
Ramadan Dua: DAY 10
8.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, make me, among those who rely on You, from those who You consider successful, and place me among those who are near to you, by Your favor, O goal of the seekers.
 
Ramadan Dua: DAY 11
 
ALLAH, on this day, make me love goodness, and dislike corruption and disobedience, bar me from anger and the fire [of Hell], by Your help, O the helper of those who seek help
 
Ramadan Dua: DAY 12
9.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, beautify me with covering and chastity, cover me with the clothes of contentment and chastity, let me adhere to justice and fairness, and keep me safe from all that I fear, by Your protection, O the protector of the frightened.
 
Ramadan Dua: DAY 13
 
ALLAH, on this day, purify me from un-cleanliness and dirt, make me patient over events that are decreed, grant me the ability to be pious, and keep company with the good, by Your help, O the beloved of the destitute.
 
Ramadan Dua: DAY 14
10.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, do not condemn me for slips, make me decrease mistakes and errors, do not make me a target for afflictions and troubles, by Your honor, O the honor of the Muslims.
 
Ramadan Dua: DAY 15
 
11.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
 
 
 
 
Ramadan Dua: DAY 16
 
ALLAH, on this day, grant me compatibility with the good, keep me away from patching up with the evil, lead me in it, by Your mercy, to the permanent abode, by Your God ship, O the God of the worlds.
 
 
Ramadan Dua: DAY 17
12.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, guide me towards righteous actions, fulfill my needs and hopes, O One who does not need explanations nor questions, O One who knows what is in the chests of the (people of the) world. Bless Muhammad and his family, the Pure.
 
 
Ramadan Dua: DAY 18
 
ALLAH, on this day, make me love goodness, and dislike corruption and disobedience, bar me from anger and the fire [of Hell], by Your help, O the helper of those who seek help.
 
 
Ramadan Dua: DAY 19
13.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, multiply for me its blessings, and ease my path towards its bounties, do not deprive me of the acceptance of its good deeds, O the Guide towards the clear truth.
 
 
Ramadan Dua: DAY 20
14.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, open for me the doors of the heavens, and lock the doors of Hell from me, help me to recite the Qur'an, O the One who sends down tranquility into the hearts of believers.
 
 
Ramadan Dua: DAY 21
15.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, show me the way to win Your pleasure, do not let Shaytan have a means over me, make Paradise an abode and a resting place for me, O the One who fulfills the requests of the needy.
 
Ramadan Dua: DAY 22
16.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, open for me the doors of Your Grace, send down on me its blessings, help me towards the causes of Your mercy, and give me a place in the comforts of Paradise, O the one who answers the call of the distressed.
 
Ramadan Dua: DAY 23
 
ALLAH, on this day, wash away my sins, purify me from all flaws, examine my heart with (for) the piety of the hearts, O One who overlooks the shortcomings of the sinners.
 
Ramadan Dua: DAY 24
17.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, I ask You for what pleases You, and I seek refuge in You from what displeases You, I ask You to grant me the opportunity to obey You and not disobey You, O One who is generous with those who ask
 
Ramadan Dua: DAY 25
 
ALLAH, on this day, make me among those who love Your friends, and hate Your enemies, following the way of Your last Prophet, O the Guardian of the hearts of the Prophets.
 
Ramadan Dua: DAY 26
 
ALLAH, on this day, make my efforts worthy of appreciation, and my sins forgiven, my deeds accepted, my flaws concealed, O the best of those who hear.
 
Ramadan Dua: DAY 27
18.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
ALLAH, on this day, bestow on me the blessings of Laylatul Qadr, change my affairs from (being) difficult to (being) easy, accept my apologies, and decrease for me [my] sins and burdens, O the Compassionate with His righteous servants.
 
Ramadan Dua: DAY 28
 
ALLAH, on this day, grant me a share in its nawafil (recommended prayers), honor me by attending to my problems, make closer the means to approach You, from all the means, O One who is not preoccupied by the requests of the beseechers.
 
Ramadan Dua: DAY 29
 
O ALLAH, on this day, cover me with Your mercy, grant me in it success and protection, purify my heart from the darkness of false accusations, O the Merciful to His believing servants.
 
Ramadan Dua: DAY 30
19.816524421@web52208.mail.re2.yahoo.com
O ALLAH, on this day, make my fasts worthy of appreciation and acceptance, according to what pleases You, and pleases the Messenger, the branches being strengthened by the roots, for the sake of our leader, Muhammad, and his purified family. Praise be to ALLAH, the Lord of the worlds.
 
Distribute it please
And don't forget to pray for Me and all Muslim Ummah



 
"This email message is intended for the named recipient only. It may be privileged and/or confidential. If you are not the intended named recipient of this email then you should not copy it or use it for any purpose, nor disclose its contents to any other person which is strictly prohibited and unlawful."