Thursday, May 17, 2012

HAHAHAAA BONGE WA CLOUDS FM AAMUA KUPANDA MIGOMBA BARABARA YA MWANANYAMALA BAADA YA BARABARA HIYO KUTELEKEZWA


Mfanyakazi wa Radio Clauds FM, Said Mohamed 'Said Bonge' akipanda migomba kwenye mashimo ya barabara ya Mwananyamala Hospitali Dar es Salaam leo huku gari likipiata kando yake. Bonge alisema amechukua uwamuzi huo baada ya wahusika kushindwa kuyafukia mashimo hayo ambayo yamekuwa yakileta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Said Bonge akiendelea na shughuli ya kupanda migomba katika barabara ya Mwananyamala ambayo imeharibika vibaya huku wahusika wakiifumbia macho bila kuchukua hatua zozote za kuikarabati.
PICHA/HABARI na full shangwe