Saturday, July 7, 2012

WEMA ,WOLPER WAMETOKA SURUHU

Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwenye Tamasha la Matumaini.
Mwamuzi akiamua mpambano uanze.
Wolper na Wema wakionyeshana ubabe.
Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.

KABLA YA PAMBANO
 
Wema akijifua.
Wolper.