Wednesday, August 8, 2012

KAMPUNI YA STEPS, WASANII, WAKAMATA WEZI WA KAZI ZAO DAR ES SALAAM



Baadhi ya wasanii pamoja na askari polis wakiwa wamerizingira duka lililokuwa linauza kazi za wasanii feki 
BAADHI YA MIZIGO YA DVD MPYA KABISA ZILIZO FEKI ZIKIWA ZIMEKAMATWA LEO JANA JIJINI DAR ES SALAAM
Msanii wa filamu nchini Mohamed Nice 'Mtunisi' kushoto na Jacob Stevin 'JB' wakiwa katika duka ambalo lilikuwa linauza kazi zao ambazo ni feki ambapo walikamatwa kwa kushilikiana na Kampuni ya usambazaji ya Steps Entantainment ya jijini Dar es salaam
MSANII WA MUZIKI WA TAARABU, MZEE YUSUFU KUSHOTO, AKIANGALIA MOJA YA KAZI YAKE ILIYOKUWA FEKI ZILIZOKAMATWA NA WASANII WENYEWE KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA STEPS ENTANTAINMENT YA JIJINI DAR ES SALAAM JANA
MSANII MOHAMED NICE 'MTUNISI' AKIZUNGUMZA JINSI WALIVYOKAMATA MZIGO FEKI WA KAZI ZA WASANII MBALIMBALI KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA STEPS ENTATAINMET YA JIJINI DAR ES SALAAM INAYOSAMBAZA KAZI ZA WASANII NCHINI
Moja ya gari lililokuwa limejaa kazi feki za wasanii mbalimbali nchini zinazouzwa baada ya kurudufiwa kinyume cha sheria na kukosesha wasanii mapato mazuri.
MSANII KAPTEN RADO AKIKAGUA KAZI ZAKE MPYA AMBAPO KAZI YAKE IJULIKANAYO KAMA 'HATIANI' ILIYOINGIA MTAANI JANA ILIKUWA IMESHACHAKACHULIWA NA KUINGIZWA SOKONI
MSANII MOHAMED 'NICE' AKILIA KWA UCHUNGU BAADA YA KUKUTA KAZI ZAO ZILIZOKUWA ZIKIUZWA KATIKA MOJA YA DUKA MTAA WA MAGILA NA LIKOMA JANA