Friday, July 27, 2012

Message from Jose Chameleone to Eric Shigongo




Leo Jose Chameleone akiwa na mashabiki wake wanandamana kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uganda kudai arudishiwe passport yake inayoshikiliwa na Erick Shigongo. Maandamano bado yanaendelea nje ya ubalozi huo jijini Kampala.

Jana kupitia facebook  aliandika mkasa mzima uliopelekea passport yake ishikiliwe. Huu hapa.

I AM VERY DISAPPOINTED!

Nilichukuliwa na kampuni ya GLOBAL PUBLISHERS, kampuni ya kitanzania kutumbuiza kwenye uwanja wa taifa Jule 7, 2012.
Nilitumbuiza kama mkataba ulivyokuwa. Jumapili ya tarehe 8, ERIC SHIGONGO ambaye ni mwenyekiti mtendaji wa GLOBAL PUBLISHERS aliichukua passport yangu kwa kumtuhumu meneja wangu kuwa amemtapeli dola 3500 ambazo kiukweli alitapeliwa na tapeli mmoja wa Kampala aitwaye George.
Nilisaidiwa na ubalozi wa Uganda mjini DAR EL SALAAM, ambao ulinipa passport ya muda kurudi nyumbani.
Niliporudi Kampala nilimtafuta tapeli huyo, nilimkamata na kumkabidhi kwa polisi ambao walimwachia katika makubaliano ambayo siyajui.
Nilieza haya kwa balozi wa Tanzania nchini Uganda kwa msaada lakini alinitosa.
Ni show zijazo Afrika Kusini, Uingereza, Ubelgiji, Norway, Sweden, Canada na kwingine. Hivyo ina maana Eric yupo juu ya sheria kukaa na passport yangu pasipo uhalali?
Mimi niumie kwa uzembe wake wa kumwamini tapeli?
Ni haki raia wa Tanzania asiye na mamlaka kushikilia passport yangu kwa zaidi ya mwezi? Nahitaji ushauri!

Aliendelea...

ERIC SHIGONGO AM BOUND TO MAKE YOU AN EAST AFRICAN CELEBRITY GOR TAKING THE LAW THE WAY YOU WANT! WE ARE PLANNING EAST AFRICA UNION AND U ARE PROMOTING YOUR SELFISH UNION! Damn

I AM AT THE TANZANIAN HIGH COMMISSION IN DEMOSTRATION FOR THE CONFISCATION OF MY PASSPORT BY A TANZANIAN ILLEGALY ERIC SHIGONGO I NEED MY FREEDOM TO TRAVEL AS A UGANDAN!
I NEED MY PASSPORT BACK ASAP!FOR GOD AND MY COUNTRY UGANDA.
Woken up! AM NOT GOING TO GO BACK TO MY HOUSE! AM GOING TO SLEEP AT THE TANZANIAN HIGH COMMISSION UGANDA UNTIL MY BROTHER FROM TANZANIA SURRENDERS BACK MY PASSPORT TO UGANDA GOVERNMENT THAT OWNS IT.HE IS HOLDING IT ILLEGALLY- IF NO BODY IS THERE FOR MY RIGHT AND JUSTICE LET ME ASK FOR IT MYSELF!

I AM DEMONSTRATING AGAINST INJUSTICE
AND WANT ERIC SHIGONGO TO RESPECT MY COUNTRY!

FOR GOD AND MY COUNRTY I DECLARE.